

Jamani kwa wale tusiokuwa na magari yetu I mean a private transport,usafiri ndio huu. Eti nasikia kutoka mwenge mpaka Posta shilingi mia tano tu yaani nikujiachia kwa kwenda mbele. Si mnaicheki bajaji kwa ndani Si kitoto.
I have learnt that caring too much on how your message will be conveyed unaweza kujikuta unabaki bubu. I’m a victim, you too at some poi...
No comments:
Post a Comment