Blessings za father Semkande kabla ya kupanda altareni ili kama una pepo la kukataa lisije likapanda halafua mwenzio akabaki njia panda....lol
Haya saini hapa chini
What else can I say?
Mdogo wangu akinisindikiza kanisani tayari kwa kwenda kula kiapo cha maisha
Kijijini hakuna saloon wala nini lakini wifi zangu walijitahidi kumpendezesha bi harusi ingawa hawakutumia nguvu sana coz uso wenyewe ushapambika huu....hohohoho
No comments:
Post a Comment