Sep 14, 2009

Steven Kanumba

Kila mtu anapewa nafasi moja tu ya kuonyesha alichonacho, My brother Kanumba alionyesha alichoweza alipokuwa kwenye jumba la Big Brother Africa kule Afrika kusini, hakuna haja ya kumsema vibaya kwa kile alichofanya....kaka wa watu amejikuna na mkono ulifikia pale thats it!

No comments:

I have learnt that caring  too much on how your message will be conveyed unaweza kujikuta unabaki bubu. I’m a victim, you too at some poi...