Jun 25, 2016

                                                                 Mark Wahlberg 



                                     Mark Wahlberg alikuwa muuza ‘unga’
Mcheza sinema huyu ni mfano hai kuwa unapoanguka katika uovu unaweza kuinuka na kufanya maajabu.
Mwigizjai wa Mark Wahlberg aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya biashara ya dawa za kulevya na kutishia kuua.
Bahati ilikuwa yake kwani alitumikia siku 45 tu katika gereza lenye ulinzi mkali huko Marekani.

“Siku 45 nilizokaa gerezani zilinifungua kuwa ninaweza kuwa mwigizaji  wa filamu, nilipotoka niliamua kubadilika,” anasema.

No comments:

I have learnt that caring  too much on how your message will be conveyed unaweza kujikuta unabaki bubu. I’m a victim, you too at some poi...