Mmeisikia hii jamani?
Hukooo Papua New Guinea watu wanawazika wagonjwa wa ukimwi wakiwa hai. inasikitisha hii jamani.
Unaambiwa wanawarushia tu mamichanga bila huruma, hebu ipatie picha hii stori.
Uliza kisa nini sasa?
Eti wanasema wanaogopa kuambukizwa ugonjwa huo, na pia wanasema ugonjwa wenyewe hauna dawa sasa kwanini ndugu zao hao waendelee kuwasumbua.
its true story
Aug 30, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
I have learnt that caring too much on how your message will be conveyed unaweza kujikuta unabaki bubu. I’m a victim, you too at some poi...

-
Seems like Ahley Cole is real missing some sweetness......Here Comes Cheryl Cole na mautamu yake ambayo for sure every man is craving for it...
-
Avic Town: My Dar es Salaam, My New Tanzania The entrance Kama ingetokea watu wakakubeba ukiwa usingizini na kukuacha katika eneo...
-
hapa akiwa na handsome mwingine Usher Rymond Swagga za kiteen We mtoto wewe
1 comment:
Du kweli hawa jamaa wako nyuma sana,
Post a Comment